Festamir Mahinja (amezaliwa Kasulu 3 November 2003) ni mtangazaji, mwandishi wa habari, mwanablogu Mtunzi na mwandishi wa Vitabu ( Riwaya na Tamthiliya) kutoka nchini Tanzania. Festamir anafahamika kupitia Mtandao wa Instagram [1]baada ya kujiunga mwaka 2020 na kuanza Kazi Rasmi March, 2021. Kabla ya Mwaka 2021 Festamir alikua Mtunzi wa Riwaya e.g Upeo ka Pepo na msimuliaji wa Story Mbalibali. Festamir, vilevile anamiliki Online TV inayofahamika kwa jina la AmyTV moja ya online channel za habari mbalimbali zinazofanya vizuri ndani na nje ya Tanzania.


Festamir ni moja ya wana-Habari wenye Umri Mdogo Afrika Mashariki Akiwa Na Uhakika wa habari kwa muda, visa na matukio kama: siasa, michezo na burudani amekuwa akiyafikisha kwa watu mbalimbali kwa wakati husika.

  1. ^ [www.instagram.com/festamir "Instagram"]. instagram. {{cite web}}: Check |url= value (help)CS1 maint: url-status (link)